Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Azam FC, Zacharia Thabit (Pichani) akiwa katika studio za East Africa Radio akizungumzia mikakati yao kuelekea msimu ujao.
Uongozi wa klabu ya soka ya Azam Fc umesema haina mpango wa kuziwania saini ya nyota wa klabu ya Yanga, Benard Morrison na Papii Kabamba Tshishimbi katika dirisha la usajili lijalo.