Kardinali Pengo aongoza misa ya Mkapa Upanga

Mjane wa Hayati Mkapa mama Anna Mkapa akisaidiwa kuelekea eneo la Kuaga mwili wa marehemu mume wake.

Aliyekuwa Askofu Mkuu Jimbo la Dar es Salaam Askofu Mstaafu Polycarp Pengo na Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania leo wameshiriki katika ibada ya misa ya kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa awamu ya tatu Tanzania hayati Benjamin William Mkapa katika kanisa la Immaculata Upanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS