Kardinali Pengo aongoza misa ya Mkapa Upanga
Aliyekuwa Askofu Mkuu Jimbo la Dar es Salaam Askofu Mstaafu Polycarp Pengo na Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania leo wameshiriki katika ibada ya misa ya kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa awamu ya tatu Tanzania hayati Benjamin William Mkapa katika kanisa la Immaculata Upanga.

