RPC azungumzia mauaji ya M/Kiti wa BAWACHA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, amesema kuwa tayari jeshi hilo limemkamata mtuhumiwa wa mauaji ya Mwenyekiti wa BAWACHA Kata ya Palanga Asia Said, aliyeuawa baada ya kuchomwa mshale usiku wa kuamkia leo wakati akiandaa chakula cha jioni yeye na mume wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS