Mkapa ni baba wa demokrasia Magufuli asimulia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli amemuelezea rais wa Tanzania wa awamu ya tatu hayati Benjamin William Mkapa kama baba wa Demokrasia nchini kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa tangu nchi ilipoingia katika mfumo wa vyama vingi.

