Mkapa ni baba wa demokrasia Magufuli asimulia

Rais Dkt John Magufuli akitoa hotuba Uwanja wa Uhuru wakati wa zoezi la kitaifa la kutoa heshima za mwisho kwa miwili wa hayati Benjamin Mkapa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli amemuelezea rais wa Tanzania wa awamu ya tatu hayati Benjamin William Mkapa kama baba wa Demokrasia nchini kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa tangu nchi ilipoingia katika mfumo wa vyama vingi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS