Utopolo uso kwa uso na Kindoki, kumfukia Manara
Kutoka kwenye kamati ya hamasa ya timu ya Yanga Jimmy Kindoki kwa mara ya kwanza leo amekutana na shabiki maarufu wa klabu hiyo, ambaye anafahamika kwa jina la utopolo na wamefanikiwa kumaliza tofauti zao.

