Wagonjwa 1500 watibiwa Kivule

Pichani ni wakati wa ujenzi wa hospitali ya Kivule. Picha na Maktaba

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Kivule iliyopo Manispaa ya Ilala Dk.Thobias Mboto amesema tangu kuanzishwa Hospitali hiyo Juni 3, mwaka 2020 hadi sasa zaidi ya wagonjwa 1,500 wameshatibiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS