Maeneo matatu ya nguvu yaliyompa ubingwa Zidane

kocha wa Real Madrid Zinedine Zidane akiwa amebeba kombe la ligi kuu Hispania LaLiga

Real Madrid wametwaa ubingwa wa ligi kuu Hispania LaLiga bada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Villarreal usiku wa jana, ambao pia ulikuwa ni ushindi wa 10 mfululizo tangu kurejea kwa ligi baada ya mapumziko ya Corona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS