Ndombele kuwa nje kwa mechi zilizosalia msimu huu

Tanguy Ndombele akiwa katika kibarua chake kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu ya England.

Kocha Jose Mourinho amethibitisha kumkosa mchezaji wake Tanguy Ndombele kwa mechi zote mbili zilizobaki kumaliza msimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS