"Kifo ni siri, jana nilikwenda kumuona" - Kikwete
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, amesema kuwa mara baada ya kupokea taarifa za kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa, alishangazwa kwa kuwa jana alienda Hospitali kumjulia hali na alimkuta akiwa na hali nzuri.

