Rais Magufuli atoa machozi 'Msinishangae'
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, leo akihutubia Taifa wakati wa shughuli za mwisho za kuaga mwili wa Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, alimwaga machozi wakati akikumbuka ni kwa namna gani alikuwa akimsaidia wakati wa uhai wake na kuomba watu wasimshangae kisa analia.

