"Wajumbe ndiyo wakata Umeme" - Jike Shupa
Video Vixen na mwanamitandao Zena Haji "Jike Shupa" amesema anagombea Udiwani Kwa Mpangale iliyopo Buza Wilaya ya Temeke kupitia CCM, na sasa hivi anasubiria majibu ya wajumbe ambao wapo kwenye mchakato wa kupiga kura japo anawahofia wasije kumkata.

