Mwarobaini wa shida za Yanga,Simba,Azam huu hapa
Imeelezwa kuwa ili vilabu vya Yanga, Simba na Azam viepukane na changamoto ya kusajili makocha na wachezaji ambao huwa baada ya muda mfupi wanaonekana hawafai, ni vyema waka ajiri wakurugenzi wa ufundi ambaye ndiye atakayetatua matatizo yanayowakabili.

