
Video Vixen na Mwanamitandao Jike Shupa
Jike Shupa amesema yupo serious na kugombea Udiwani huo na vipaumbele vyake ni kuwasaidia na kuwaelimisha wanawake kwenye Ujasiriamali wa kujitosheleza pia anaweza kuongoza watu.
"Nasubiria majibu ya Wajumbe wapo kwenye mchakato wa kupiga kura, nipo serious kugombea Udiwani wa Kwa Mpalange iliyopo Buza Temeke kuongoza watu naweza, nawahofia wajumbe maana wao ndiyo wakata umeme, wanachama wa CCM wapo 300 na tunaogombea tupo watano, watu wajiandae kunipokea hata sapoti naipata kutoka kwa watu maarufu na watu wangu wa karibu" amesema Jike Shupa
Zaidi tazama kwenye video hapa chini.