Msigwa aeleza kwanini amewasikiliza Wazee

Mchungaji Peter Msigwa.

Mbunge wa Iringa Mjini aliyemaliza muda wake kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa, amesema kuwa aliamua kuwasikiliza wazee wa Mkoa huo, hii ni baada ya wao kumfuata na kumuomba aachane na nia yake ya kugombea Urais abaki kutumikia jimbo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS