Viwanda vipya 16 kujengwa kwaajili ya vifaa tiba Adam Fimbo Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Nchi ya Tanzania katika kuhakikisha inatimiza azma ya kuwa nchi ya viwanda na kujitosheleza kwa bidhaa ndani ya nchi imedhamiria kuwekeza kwenye uzalishaji wa ndani. Read more about Viwanda vipya 16 kujengwa kwaajili ya vifaa tiba