Uwanja wa taifa rasmi "Mkapa Stadium"-Magufuli
Rais wa Tanzania Dk. John Magufuli amridhia uwanja wa taifa kuitwa jina la Mkapa kufuatia kuwapo kwa maombi ya wadau wengi wa michezo kutaka uwanja huo uitwe jina la Benjamin Mkapa tangu kutokea kifo chake 23/07/2020 mwaka huu Jijini Dar es Salaam.

