Uwanja wa taifa rasmi "Mkapa Stadium"-Magufuli

Muonekano wa Uwanja wa Taifa ambao kwa sasa utaitwa Mkapa Stadium Picha na maktaba.

Rais wa Tanzania Dk. John Magufuli amridhia uwanja wa taifa kuitwa jina la Mkapa kufuatia kuwapo kwa maombi ya wadau wengi wa michezo kutaka uwanja huo uitwe jina la Benjamin Mkapa tangu kutokea kifo chake 23/07/2020 mwaka huu Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS