Wanaochapisha uongo kuhusu ujumbe wa Kenya waonywa
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Dkt Damas Ndumbaro, amewataka Watanzania kuisemea nchi mazuri ili kuwa na diplomasia nzuri na Mataifa mengine na kuachana na upotoshaji unaoenezwa mitandaoni hasa baada ya ujumbe wa Kenya uliokuwa ushiriki katika maziko ya Kitaifa kushindwa kufika.

