Chanzo kifo cha Rais Mkapa chatajwa

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Marehemu Benjamin William Mkapa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mwanafamilia wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa, William Erio, imeeleza kuwa siku ya Jumatano Rais Mkapa alilazwa Hospitali baada ya kugundulika kuwa na Malaria, lakini baadaye aliaga Dunia kutokana na mshituko wa Moyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS