Agizo la Rais Uwanja wa Mkapa laanza kutekelezwa

Uwanja wa Benjamini Mkapa

Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imeanza kutekeleza maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli kubadili jina la uwanja wa Taifa kumuenzi Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamini Wiliam Mkapa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS