Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mo Dewji atoa ahadi nono kwa wachezaji

Alhamisi , 4th Apr , 2024

Rais wa heshima na Mwekezaji wa klabu ya Simba SC Mohammed Dewji Maarufu 'MO' ameweka ahadi nono kwa wachezaji na benchi la ufundi endapo wataweza kufuzu kwenda hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani Afrika msimu 2023-24.

Msafara wa kikosi hicho uliohusisha watu 60 umewasili salama mjini Cairo majira ya saa 4 kamili Asubuhi huku kabla ya kuanza kwa safari hiyo,Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Simba SC amewaka wazi ahadi nono iliyotolewa kwa wachezaji wa klabu hiyo na Eais wa heshima wa Simba SC Mo Dewji.

''Motisha imetolewa kubwa na haijawahi kutokea kilichobakia ni wao kujitoa sisi tumeshatimiza wajibu wetu kama viongozi ''amesema Try again.

Mbali na motisha kubwa kutoka kwa Mo Dewji,Salim Abdallah maarufu kama Try Again amewatoa hofu wana simba kuelekea mchezo wa marejeano dhidi ya Al Ahly na kutamba kufanya vizuri mnamo Ijumaa ya Aprili 05-2024.

Simba itahitaji kupata ushindi wa kuanzia mabao 2 ili kuvuka moja kwa moja kwenda nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya kupoteza kwenye mchezo wa kwanza kwa kichapo cha bao 1-0 kwenye dimba la Benjamin Mkapa mnamo Machi 29-2024.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja