
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu Mwamba

Makamu Mwenyekiti Taifa wa ACT Wazalendo Isihaka Mchinjita.

Mwanariadha wa Tanzania Alphonce Felix Simbu amemaliza nafasi ya 17 kwenye mbio ndefu za marathon Kilomita 42 kwenye michezo ya Olimpiki.

Kiungo wa Manchester united Casemiro wa kulia ni sehemu ya wachezaji watakao ukosa mchezo dhidi ya Man City kutokana na Majeraha.

Mimba zisizo tarajiwa chanzo cha ongezeko la utoaji mimba usio salama.

Chemba za kuhifadhia maji taka soko la Shekilango.

Glory Kalinga, mfanyabiashara wa mazao ya chakula, soko la Ilala jijini Dar es Salaam.