Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yaongeza wengine watatu

Jumatatu , 17th Jul , 2017

Kamati ya Yanga imewateua Mohamed Nyenge, Tonny Mark na Majid Suleiman kuwa wajumbe wa kamati hiyo ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na idara ya habari na mawasiliano ya klabu hiyo, uamuzi huo umefanywa katika kikao cha kamati hiyo kilichofanyika tarehe 15/07/2017 ikiwa ni kwa mujibu wa ibara ya 28(1)(d) ya katiba ya Yanga.

Taarifa hiyo imesema kuwa lengo la uteuzi huo ni kujaza nafasi mbili zilizokuwa wazi, na moja iliyoachwa na mjumbe ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa kamati ya mashindano aliyekwenda nje ya nchi kwaajili ya masomo.

Wakati huo huo, makamu mwenyekiti wa klabu hiyo Clement Sanga mwishoni mwa wiki alikutana na wachezaji wa zamani waliopitia klabu hiyo na kuazimia kushirikiana ikiwa ni pamoja na kuwaweka wachezaji hao karibu na klabu.

Katika kufanikisha ushirikiano huo, Sanga na wachezaji hao wamekubaliana kuunda safu ya uongozi wao itakayorahisisha mawasiliano baina yao na uongozi wa klabu, kuweka kumbukumbu kwaajili ya historia ya klabu na vizazi vijavyo kupitia wao, pamoja na kusaidiana katika suala zima la ugunduzi wa vipaji vya wachezaji kwa manufaa ya klabu.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja