Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

KMC yaipigia hesabu Namungo

Ijumaa , 23rd Sep , 2022

Timu ya KMC leo imeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Ligi Kuu dhidi ya Namungo utakaochezwa Oktoba 1 katika uwanja wa Majaliwa Ruangwa, Lindi.

KMC inayonolewa na kocha Mkuu, Thiery Hitimana imeanza kujifua baada ya kurejea kambini jana jioni baada ya kumaliza mapumziko ya siku mbili tangu ilipocheza na Ihefu Septemba 20 katika uwanja wa Uhuru, KMC ikishinda 2-1.

KMC inajiandaa na mchezo wao dhidi ya Namungo badala ya Mtibwa Sugar ambao ulipangwa kuchezwa Septemba 27 lakini kutokana na wachezaji kuwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa mechi hiyo ilibadilishwa.

Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema mabadiliko ya mchezo wao na Mtibwa Sugar wameyapokea na kuyafanyia kazi.

“Tulipokea taarifa ya mabadiliko ya mchezo wetu dhidi ya Mtibwa Sugar ambao awali ilikuwa tucheze siku ya Jumanne ya Septemba 27 kwenye uwanja wetu wa Uhuru, kwasasa tunajiandaa kwa mchezo mwingine ambao tutakuwa ugenini dhidi ya Namungo, tunajipanga vizuri kutafuta alama tatu muhimu ugenini." amesema Mwagala na kuongeza.

KMC FC imecheza mechi nne na kati ya hizo tatu ikiwa ugenini huku mmoja ikiwa kwenye uwanja wa nyumbani, ikiibuka na ushindi katika mchezo mmoja dhidi ya Ihefu na kutoa sare michezo miwili ambayo ni dhidi ya Simba pamoja na Polisi Tanzania huku ikipoteza dhidi ya Coastal Union.

 

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa