Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baraka The Prince akoshwa na Bball Kings

Jumanne , 14th Aug , 2018

Nyota wa Bongofleva Baraka the Price anayetamba na ngoma yake mpya 'Sina', ni miongoni mwa waliokoshwa na mashindano ya Kikapu ya Sprite Bball Kings baada ya kujionea game 3 ya nusu fainali kati ya Portland dhidi ya Mchenga Bball Stars.

Timu za Portland (nyeupe) na Mchenga Bball Stars (kijani) kwenye game 3 ya nusu fainali.

Akiongea na East Africa Television Baraka aliweka wazi kuwa michuano hiyo ni daraja zuri kwa vijana wa Kitanzania wenye vipaji kujiajiri na kufikia ndoto zao ikiwemo kucheza kwenye ligi kubwa nje ya nchi kitu ambacho kitasaidia kuinua wengine.

''Huu ni mchezo wenye pesa nyingi sana na unatoa mastaa wengi kwenye nchi za wenzetu, kwa hiki ambacho mmekifanya East Africa Television ni kitu kikubwa maana vijana wanapata kujulikana na kujipatia kipato kama hivyo bingwa anachukua milioni 10 na pia anakuwa ametangaza kipaji chake'', alisema.

Baraka pia alieleza kushangazwa na umati mkubwa wa mashabiki waliojitokeza kwenye viwanja vya Don Bosco kushuhudia game 3 ya nusu fainali ambapo Mchenga waliwalaza Portland kwa pointi 81 kwa 63. ''Nimehamasika kuja tena maana kumbe huku kuna mashabiki wetu wengi tu'', aliongeza.

Game za fainali ya michuano hiyo inayodhaminiwa na kinywaji cha Sprite zitaanza kupigwa Jumamosi hii Agosti 18 kwenye uwanja wa taifa wa ndani ambap Flying Dribblers watakuwa wenyeji wa mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa