Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia mara baada ya kuendesha gari la Mwendo Kasi katika kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo Haraka (BRT) mara baada ya kufungua rasmi Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam.

25 Jan . 2017

Mchezo kati ya Simba na Polisi Dar

25 Jan . 2017

Philppe Coutinho akisaini mkataba mbele ya kocha wa Liverpool Jurgen Klopp

25 Jan . 2017

Baadhi ya wasanii kutoka Tip Top Connections, kutoka kushoto ni Madee, Dogo Janja na Tuma Man

25 Jan . 2017

Polepole (Kulia), Nembo ya CUF (Kushoto)

24 Jan . 2017