Picha ya Ja Rule
Picha ya ajali ya mabasi mawili na Lori la mafuta
Rais DK.Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bw. Charles Kichere kwa mwaka 2022/23 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 28 Machi, 2024.
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga (kulia) akipokea nyaraka mbalimbali kuhusu mkakati wa kampuni ya Taifa Gas katika kufanikisha suala zima la upatikanaji wa nishati safi ya kupikia ya gesi kutoka kwa Meneja Mkuu wa kampuni hiyo, Devis Deogratius wakati maofisa wa kampuni hiyo walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana.
Picha ya Mandonga na Harmonize
Picha ya Harmonize na Hassani Mwakinyo
Picha ya Diddy
Dkt. Tulia Ackson, Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania