![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2024/03/28/xxxww.jpg?itok=Xz2UXL9d×tamp=1711625353)
Picha ya ajali ya mabasi mawili na Lori la mafuta
Ajali hiyo imetokea eneo la Mlandizi karibu na JKT Club ambapo mabasi yameteketea kwa moto huku taarifa zaidi kuhusu chanzo cha ajali hiyo zitatolewa lakini tayari Mkuu wa Mkoa wa Pwani Aboukabari Kunenge amewasili eneo la tukio.
Aidha Tanki la mafuta la lori lililohusika kwenye ajali hiyo limelipuka wakati Jeshi la Zimamoto likiendelea kumwaga mafuta ili kuepusha madhara zaidi.