Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TRA yaongeza muda kwa waajiri kuwasilisha TIN

Alhamisi , 10th Sep , 2020

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewahimiza wamiliki wa majengo yaliyopimwa na ambayo hayajapimwa kulipia kodi stahiki za majengo wakiwemo wote wenye madeni kufanya hivyo ili kuepuka usumbufu wa kimfumo pindi wanaporundikana kwa kulipia kwa pamoja.

Mkurugenzi wa kitengo cha elimu kwa mlipa Kodi bw Richard Kayombo.

Akizungumza katika mahojiano maalum na EATV Mkurugenzi wa kitengo cha elimu kwa mlipa kodi Bw Richard Kayombo amesema kufanya hivyo ni sehemu ya wananchi kutimiza wajibu hasa katika robo hii ya kwanza.

"Kwa kawaida wamiliki wote wa majengo yanatakiwa kulipiwa kodi ikiwa imepimwa au haijapimwa na ni vyema wananchi wanafanya hivyo kwa maana zile siku za mwisho huwa zina changamoto kubwa zinazopelekea mifumo kuzidiwa."alisema Kayombo

Amesema kwa sasa mamlaka hiyo inaendelea na mpango wake wa kutembelea mlango kwa mlango kutoa elimu ya kodi lakini pia kuzifahamu changamoto za wafanyabiashara moja kwa moja.

"Hili zoezi tayari tunaanza kulitekeleza kwa mikoa ya Arusha,Mtwara,Kagera,Tabora, na kwa Dar es salaam tufanya katika Wilaya ya Ubungo tuu lengo ikiwa tunataka kila mwananchi apate uelewa kuhusu masuala ya kodi." alisema Kayombo.

Aidha Bw Kayombo amewataka waajiriwa kuhakikisha wanakabidhi utambulisho wa mlipa kodi (TIN) kwa waajiri wao zoezi ambalo limeongezwa hadi mwezi disemba 2020 ambapo wahusika watafanya maombi haya kwa njia ya kimtandao.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa