
Mlinzi wa kushoto wa Simba, Mohamed Hussein akijaribu kumzuia winga wa klabu ya Yanga, Tuisila Kisinda kwenye mchezo wa ungwe ya kwanza msimu huu mchezo uliomalizika kwa sare ya 1-1.

Mjumbe Kamati Kuu Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Suzan Kiwanga

Naibu Wazxiri, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Deo Ndejembi

Kylian Mbappe (kushoto) na kocha wa PSG, Mauriccio Pochettino (kulia) wakiteta jambo.

Bilionea Bill Gates na mkewe Melinda Gates

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alipowasili Kenya.

Picha ya msanii Lady Jaydee na Usher Raymond

Mwamuzi wa kati, Emmanuel Mwandembwa aliyechaguliwa kuuchezesha mchezo wa watani wa jadi wa Simba dhidi ya Yanga.(wa pili kutoka kulia)