Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli awahakikishia watanzania elimu bure

Alhamisi , 17th Dec , 2015

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia watanzania kuwa ahadi yake ya kutoa elimu bure kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne ni lazima itekelezwe.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Akiongeza Jijini Dar es Salaam Dkt. Magufuli amesema kuwa kutokana na mapato ambayo serikali imekusanya kwa mwezi wa Desemba fedha za kutekeleza ahadi hiyo zimepatikana kutokana na kuvuka lengo la ukusanyaji mapato kutoka TRA.

Rais Magufuli amempongeza Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya mapato Tanzania kwa kazi nzuri ya kukusanya mapato ambayo kwa kiasi kikubwa fedha hizo zitatumika katika kutekeleza sera hiyo ya Elimu Bure.

Dkt. Magufuli amesema kuanzia mwezi wa kwanza fedha hizo zitaanza kutawanywa katika mashule husika huku nakala kupelekwa kwa mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi na atakayezifanyia ubadhirifu atawajibika.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa