Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jumuiya ya Kiisilamu yataka 'mateja' washtakiwe

Jumapili , 19th Feb , 2017

Jumuiya na Taasisi za Kiislam imepongeza vita dhidi ya dawa za kulevya na kupendekeza kuwa kamata kamata ya wahusika wa dawa za kulevya inayoendelea hivi sasa ihusishe pia wapiga debe wanaoonekana katika vituo vya daladala wakiwa wameathirika

Kaimu Msemaji wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam, Sheikh Rajab Katimba, ametoa wito huo jijini Dar es Salaam leo katika mkutano wake na wanahabari na kwamba vita dhidi ya dawa za kulevya haitakuwa na maana kwa wachache kukamatwa na wengine kuachwa.

Sheikh Katimba amesema jamii hususani Jumuiya ya Taasisi za Kiislam inategemea kuona wahusika wote wa dawa za kulevya wakikamatwa na kufikishwa mahakamani kuliko ilivyo hivi sasa ambapo taasisi hiyo inadai kuwa baadhi ya watu inaodhani kuwa ni watumiaji wa dawa za kulevya wakiwa wameachwa huku wengine wakikamatwa hali inayoleta hofu juu ya malengo hasa ya vita hiyo

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa