Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ilala yajinasibu utekelezaji miradi ya maendeleo

Jumanne , 8th Sep , 2020

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jummanne Shauri amesema kukamilika kwa miradi ya kimkakati katika Manispaa hiyo ikiwemo Machinjio mpya ya kisasa inayojengwa Vingunguti kunatarajiwa kutoa ajira za kudumu zaidi ya 200 na watu wengine zaidi ya 3,000 kushiriki katika nyanja mbalimbali.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jummanne Shauri akiwa katika moja ya matukio muhimu picha na maktaba.

Hii leo Eatv imefika ofisini kwake na kufanya mazungumzo juu ya namna miradi ya kimkakati itakavyo wanufaisha makundi mbalimbali mkurugenzi huo emeelezea jinsi wanavyotarajia kuanzisha viwanda vidogo vidogo vilivyolenga kunufaisha makundi mbalimbali.

Wakati huo huo Bw Shauri amesema kwa muhula huu wa kwanza unaokwenda kuishia Manispaa inatarajia kutoa shilingi bilioni moja kwa ajili ya mikopo rahisi kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo hadi kufiki sasa vijana wengi wamenufaika kwa mikopo ya bodaboda na bajaji huku vikundi vingine vilipewa basi pamoja na gari ya kuchakata taka taka.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja