Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hupati uwaziri kwa porojo - Katani

Ijumaa , 19th Mei , 2017

Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmadi Katani amemponda Mbunge mwenzake kutoka Singida Magharibi Elibariki Kingu kwa kumwambia kuongea kwake maneno mengi ya kisiasa Bungeni siyo tiketi ya kupewa uwaziri na Rais Magufuli katika awamu hii ya tano

Mbunge wa Jimbo la Tandahimba Mkoani Mtwara, Katani Ahmadi Katani

Katani amesema hayo baada ya Mbunge huyo kudai kilichojaa kwenye hotuba ya kambi pinzani bungeni ni malalamiko tu hakuna 'altenative' ya nini kifanyike katika mustakabali wa nchi.

"Serikali hii ya awamu ya tano inayoongozwa na Dkt. JPM siyo ukipiga maneno ndiyo anakupa uwaziri, hakupi uwaziri...Wote ukiwaangalia waliopewa uwaziri, unaibu waziri ni watu makini, wametulia siyo maneno maneno ya siasa. Sasa kama mnataka mnataka uwaziri kwa namna hiyo, uwaziri haupo na hakuna rishafo kwa bahati nzuri nimenusa...Kwa hiyo mnapokuja hapa muwe na hoja za msingi za kuishauri serikali". Alisema Katani

Pamoja na hayo Mhe. Katani amekili kuwa ni kweli kambi ya upinzani hawana mawazo mbadala katika kuishauri serikali juu ya kufanya ili iweze kuwa na maendeleo mazuri.

"Nikubaliane na wewe Kingu sisi wapinzani tutasema, serikali ndiyo inatekeleza  kwa hiyo unavyosema hatuna 'altenative' sisi hatupo kwenye mamlaka hayo kweli hatuna 'altenative' tutashauri tu... Nyie wenye mamlaka ndiyo mnawajibu sasa tunayoyashauri kuyafanya au kutoyafanya. Sitarajii tukija kwenye wizara nyingine mtapiga ngonyela hapa na kwaya zenu za vyama za siasa". Alisisitiza Katani

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa