
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Mwenda.

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, akifurahia na wanafunzi wa shule ya Sekondari Nyasa

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda

Rais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan

Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko kwenye picha ya pamoja.

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaabani, akiagana na Waziri wa Kodi wa Denmark, Mhe. Jeppe Bruus, baada ya kikao kando ya Mikutano ya Mwaka 2024 ya Bodi ya Magavana (Mawaziri wa Fedha kutoka nchi wanachama) wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Jijini Nairobi nchini Kenya.