Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Muleba Kaskazini Charles Mwijage wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo leo. Kulia ni Mgombea Ubunge jimbo la Meleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka

15 Oct . 2015