Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic anayetajwa kujiunga na United.

Kocha mpya wa Manchester City Pep Guardiola.

Mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi akishangilia moja ya mabao yake 3 aliyofunga dhidi ya Panama.

Beki wa timu ya Villarreal Eric Bailly wa mbele mwenye jezi ya njano

Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akishangilia moja ya mabao yake akiwa PSG.