msiba wa msanii YP wa kundi la TMK Wanaume Family uliofanyika Temeke Chan'gombe DSM
msanii wa kundi la TMK Wanaume Family marehemu YP
meneja wa TMK Wanaume Family Said Fella akiwa na Mkubwa na wanawe 'Yamoto band'
Katibu Mkuu wa Yanga Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga
Frank Domayo akisaini mkataba na klabu ya Azam