Wachezaji wa timu ya Azam na Yanga wakichuana katika moja ya michezo iliyozikutanisha timu hizo.

Viongozi wa timu ya Mbeya City wakiwa na kocha mkuu wa timu hiyo Mmalawi Kinnah Phiri.
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara.

Kikosi cha timu ya soka ya Simba.

Kaimu kocha mkuu wa timu ya Simba Mganda Jackson Mayanja.

Kikosi cha timu ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam.

Mshambuliaji hatari wa Simba Mganda Hamis Kiiza akishangilia moja ya mabao yake.
Kikosi cha Simba kilichoshuka dimbani leo kukabiliana na African Sports