
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala

Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu.

Kamanda wa kikosi cha Usalama barabarani mkoa wa Arusha,Marison Mwakyoma akizungumza na madereva kuwasafrisha abiria

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu .
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mbeya, Butusyo Mwambelo.
Mkuu wa mkoa wa Jiji la Mbeya Abbas Kandoro.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka.
Mtaalam wa ulinzi na usalama wa mtoto wa shirika la UNICEF nchini Tanzania Mbelwa Gabagumbi.

Kikosi cha timu ya soka ya Simba katika picha ya moja ya michezo ya ligi kuu Tanzania bara.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara nchini Tanzania (TNBC), Raymond Mbilinyi.

Mshambuliaji Mcha Hamis wa taifa stars akienda kuokota mpira baada ya kuifungia stars bao la kusawazisha dhidi ya Msumbiji
Moja ya dalada iliyoanza kufanya kazi leo jijini Mbeya

Kikosi cha timu ngumu ya Mbeya city ambacho pamoja na ugeni katika ligi kimeleta changamoto kubwa na kushika nafasi ya tatu