
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba.

Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib akikabidhiwa mpira katika moja ya michezo aliyopiga magoli matatu 'hat-trick'

Kikosi cha Serengeti Boys kikijifua katika dimba la Karume jijini Dar es Salaam.

Timu ya soka ya vijana wa Tanzania wenye umri wa chini ya miaka 17 (Serengeti Boys).
Kipa Denis Richard wa Geita Gold Sports.

Jengo la ofisi za makao makuu ya shirikisho la soka nchini Tanzania TFF zilizoko maeneo ya Karume jijini Dar es Salaam.

Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL msimu wa 2015/2016 Yanga SC.
Mzee Ibrahim Akilimali (kushoto) Katibu wa Baraza la Wazee la klabu ya Yanga.

Pichani ni Nembo ama Logo ya Liki kuu.
Wachezaji wa timu za Azam FC na Yanga wakikabiliana katika moja ya mchezo kati ya timu hizo.

Kikosi cha kwanza cha timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars.

Baadhi ya wanachama wa klabu ya soka ya Yanga wakiwa katika moja ya mikutano ya klabu hiyo.
Viongozi wa juu wa Baraza la Michezo nchini Tanzania BMT.
Mchezaji wa Serengeti Boys akiwatoka wachezaji wa Misri wakati timu hizo zilipokutana hivi karibuni nchini