
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Chrispin Meela, akimsikiliza mfanyabiashara wa ndizi katika soko la Kiwira wakati alipokuwa akikagua uendeshaji wa soko la ndizi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara Ndugu Phillip Mangula.

MBUNGE wa jimbo la Kyela na waziri wa Afrika Mashariki Dr,Harrison,Mwakyembe akihutubia wananchi katika mkutano wa Hadhara.
Mtalamu wa vifukofuko kuto Tanga Ladislaus Ng'ingo akitoa elimu jinsi ya kuhifahi mahindi.
Mkufunzi wa chuo cha mipango kilichopo mkoani Dodoma Dkt. Lucas Mwambambale ambae ametangaza nia ya kugombea jimbo la kyela.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi.
Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Mbeya Christopher Nyenyembe
MwenyekitiI wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM), mkoani Mbeya Amani Kajuna
Mkuu wa wilaya ya Kyela Thea Ntara.
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia Mkoani Njombe wakiwa kwenye msafar wa kumsindikiza mtia nia wa kugombea ubunge Njombe Kusini.
Haya ni makundi makubwa ya Tembo katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Iringa ni hifadhi yenye mvuto mkubwa kwa wageni na watalii wa ndani pia kutembelea hifadhi

Bidhaa hafifu zikiwa dampo tayari kabisa kwa kuteketezwa.

Basi LA Super Feo linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Songea likiwa limetumbukia mtoni Leo asubuhi.