Wachezaji wa timu ya ngumi za kulipwa ya Tanzania wakiwa katika moja ya safari ya kwenda nje ya nchi.
26 Aug . 2014
Timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania ya mpira wa magongo.
2 Aug . 2014

Mmoja wa wachezaji wa mchezo wa chess akitafakari jambo wakati wa mchezo huo.
29 Jul . 2014
Wanariadha wa Tanzania wakichuana katika moja ya michuano ya taifa.
10 Jul . 2014

Bondia Ibra Class 'King class mawe' akiwa na mkanda wa ubingwa wa WPBF alioutwaa baada ya kumchapa Mzambia.
14 Jun . 2014
Mabondia Karama Nyilawila kushoto na Said Mbelwa kulia wakiwa na mwamuzi wa pambano lao la UBO Anthony Rutha.
2 Jun . 2014
Rais wa TPBO Yasi Abdalah 'ustaadhi' katikati akiwa na mabondia wa kulipwa.
25 May . 2014