Mkuu wa Idara ya habari wa Simba sc Haji Manara akimkabidhi barua ya malalamiko ya ratiba ya ligi kuu Waziri Nape Nauye.

Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga ya Dar es Salaam.
Timu ya RollBall ya Tanzania [wenye Blue] wakichuana na Kenya katika moja ya michuano ya kimataifa ya mchezo huo.
Wawakilishi wa Sunderland AFC, TFF na ACACIA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kusaini mkataba wa kukuza soka nchini.

Kikosi kamili cha timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam.

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 Serengeti Boys.

Kikosi cha stars kikifanya mazoezi nchini Chad kabla ya mchezo wa kwanza dhidi ya wenyeji wao hao.
Nahodha wa taifa stars Mbwana Samatta akitoka ndani baada ya taifa stars kuwasili kutoka Chad.

Nahodha wa stars Mbwana Ally Samata akiambaambaa na mpira jana wakati akiiongoza timu hiyo kwa mara ya kwanza dhidi ya Chad.
Wachezaji wa timu za Yanga na Azam wakichuana katika moja ya michezo iliyozihusisha timu hizo.

Stars waliotangulia wakijifua wakiwa na nahodha mpya wa timu hiyo Mbwana Samata kushoto.
Kikosi cha timu ya soka ya taifa ya wanawake Tanzania Twiga Stars.

Kikosi cha wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika timu ya soka Yanga.
Mfungaji pekee wa bao la Yanga hii leo Donald Ngoma akishangilia bao lake.
Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Mohamed Kiganja akimkabidhi bendera Nahodha wa Timu ya Taifa ya Wanawake ya Mpira wa Miguu , Asha Rashidi.