Kikosi kamili cha timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania [Twiga Stars]
Wachezaji wa timu ya Azam na Yanga wakichuana katika moja ya michezo iliyozikutanisha timu hizo.
Kikosi cha Yanga kilichoivaa Simba wiki tatu zilizopita ndiyo kimeivaa APR hii leo.
Kikosi cha timu ya JKU ya Zanzibar ambacho leo hii kimepoteza mchezo wao dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda.

Kikosi cha wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika timu ya Yanga.
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta akitambulishwa na viongozi wa Genk hapo jana.

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanaokipiga na timu ya TP Mazembe ya DR. Congo.
Kikosi cha Yanga ambacho kitaiwakilisha Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika mwakani.

Katibu mkuu wa wizara ya habari,vijana,utamaduni na michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akikabidhi bendera ya taifa kwa timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya miaka 15.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

Kikosi kamili cha timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars kilichoivaa Nigeria jana.

Moja ya wachezaji wa mchezo wa tenisi kwa walemavu akifanya mazoezi jijini Dar es Salaam.