Kikosi kamili cha timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania [Twiga Stars]

17 Mar . 2016

Wachezaji wa timu ya Azam na Yanga wakichuana katika moja ya michezo iliyozikutanisha timu hizo.

15 Mar . 2016

Kikosi cha Yanga kilichoivaa Simba wiki tatu zilizopita ndiyo kimeivaa APR hii leo.

12 Mar . 2016

Kikosi cha timu ya JKU ya Zanzibar ambacho leo hii kimepoteza mchezo wao dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda.

12 Mar . 2016

Kikosi cha wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika timu ya Yanga.

11 Mar . 2016

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara.

7 Feb . 2016

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta akitambulishwa na viongozi wa Genk hapo jana.

30 Jan . 2016

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanaokipiga na timu ya TP Mazembe ya DR. Congo.

13 Dec . 2015

Kikosi cha Yanga ambacho kitaiwakilisha Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika mwakani.

12 Dec . 2015

Katibu mkuu wa wizara ya habari,vijana,utamaduni na michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akikabidhi bendera ya taifa kwa timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya miaka 15.

29 Nov . 2015

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

14 Oct . 2015

Kikosi kamili cha timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars kilichoivaa Nigeria jana.

6 Sep . 2015

Moja ya wachezaji wa mchezo wa tenisi kwa walemavu akifanya mazoezi jijini Dar es Salaam.

5 Sep . 2015