
Wachezaji wa timu ya walemavu wa Tanzania wakijifua jijini Dar es Salaam.

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Tomas Ulimwengu wanataraji kuja nchini na timu yao ya TP Mazembe ya Congo DR.

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga SC.
Wachezaji wa Tanzanite ya Tanzania na Young ShePolopolo ya Zambia wakichuana.

Baadhi ya wachezaji wa tenisi kwa walemavu [wheel chair tennis] wakichuana jijini Dar es Salaam

Baadhi ya wachezaji wa Yanga wakishangilia goli katika moja ya michezo yao.

Kikosi cha vinara wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga SC.

Kiungo mshambuliaji wa Yanga Simon Msuva akiangushwa na kipa wa Etoile du Sahel na kuipatia Yanga penati iliyowapa goli pekee

Wachezaji wa Yanga wakishangilia moja ya mabao ya mshambuliaji Mrisho Ngasa wa kwanza kushoto

Kikosi cha wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika timu ya Yanga SC.

Mwanamuziki nyota kutoka Benin Afrika, Angelique Kidjo