Real Jofu kuzindua na washkaji
Msanii wa kizazi kipya Real Jofu wa madon aka Baba Stella ambaye sasa amefyatua wimbo wake mpya 'Stella' hivi sasa amejumuika na wasanii wenzake jijini Dar es Salaam kutumbuiza mkoa wa Mara Mjini Musoma badala ya Dar es Salaam.

