Weasel na Pallaso watibuana?

Weasel, Pallaso na Moze Radio

Kutoka Uganda, Msanii Weasel ameripotiwa kujeruhiwa mkononi katika ugomvi mwingine mpya ulioibuka kati yake na mdogo wake wa damu Pallaso, ugomvi ambao moto wake ulizimwa na "patna" wa Weasel katika sanaa ya muziki, Moze Radio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS