Real Jofu kuzindua na washkaji

Msanii wa kizazi kipya Real Jofu wa madon aka Baba Stella ambaye sasa amefyatua wimbo wake mpya 'Stella' hivi sasa amejumuika na wasanii wenzake jijini Dar es Salaam kutumbuiza mkoa wa Mara Mjini Musoma badala ya Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS