Tupige kura tuzo za KTMA
Mashabiki na wadau wa muziki Tanzania, wamekumbushwa kuendelea kupiga kura kwa wingi kwa wasanii wa muziki wanaowania tuzo za muziki za Kilimanjaro mwaka huu, ikiwa zimebaki siku mbili pekee kabla zoezi la kupiga kura halijahitimishwa rasmi.