Serikali kuiagiza TFF kutoibadili jina Taifa stars

Kikosi cha timu ya taifa stars kikiwa na jezi mpya ambazo zitabadilishwa.

Serikali imesema jezi za sasa za timu ya taifa ya Tanzania taifa stars ni ruhksa kwa TFF kuzifanyia mabadiliko kutokana na wadau wengi kulalamikia kuwa haziendani na rangi ya bendera ya taifa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS