Michuano ya UMITASHUMTA DAR yafungwa

Baadhi ya wanamichezo wa michezo ya UMITASHUMTA wakishangilia katika moja ya michezo yao.

Michuano ya UMITASHUMTA mkoa wa DSM yamemalizika leo ambapo uongozi wa mkoa umepongeza vipaji vya wanamichezo wa shule za msingi na kutamba kuwa Dar itaendelea kutesa katika UMITASHUMTA taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS