Baadhi ya wanamichezo wa michezo ya UMITASHUMTA wakishangilia katika moja ya michezo yao.
Michuano ya UMITASHUMTA mkoa wa DSM yamemalizika leo ambapo uongozi wa mkoa umepongeza vipaji vya wanamichezo wa shule za msingi na kutamba kuwa Dar itaendelea kutesa katika UMITASHUMTA taifa.