Pinda awasihi UKAWA kurejea bungeni Waziri mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda. Wajumbe wa muungano wa umoja wa katiba ya wananchi UKAWA ndani ya Bunge Maalumu la Katiba, wameombwa kurejea katika bunge hilo ili kuendelea na mchakato wa kujadili rasimu ya pili ya katiba. Read more about Pinda awasihi UKAWA kurejea bungeni