Ngumi waendelea kujifua kwa Madola

mabondia wa timu ya taifa ya ngumi za ridhaa wakijifua

Timu ya taifa ya ngumi za ridhaa ya Tanzania ambayo inajiwinda kwa mashindano ya Jumuiya ya Madola yatakayofanyika jijini Glascow nchini Scotland imeendelea na mazoezi makali kujiandaa kwa michuano hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS