Msanii Kefee afariki dunia

Marehemu Kefee Don Momoh

Msanii wa muziki Kefee Don Momoh kutoka Nigeria, maarufu zaidi kama Kefee ameripotiwa kufariki dunia huko nchini Marekani akiwa katika matibabu, sababu ya kifo chake ikielezwa kuwa ni mapafu yake kushindwa kufanya kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS